Saturday, December 4, 2010

TUAMKENI SASA KUMEKUCHA, MWANAMKE HANA NAFASI YA KUTUTAWALA.

Mwanamke yeyote aishie hapa duniani ni kiumbe dhaifu sana, akiliyake haipishani nay a motto mdogo. Ndiyo maana hata serikali za nchi nyingi zimeweka widhara ya wanawake na watoto kwa kumlinganisha mwanamke na watoto wadogo. Chakushangaza sasa hivi nchi zenye mbilikimo wa siasa na wenye mipango lukuki ya kupokonya hela za kodi za wananchi zimeamua kuwapa nafasi wanawake nyazifa za juu sana serikalini bila kuona kuwa ni hatari sana kwa taifa.

Kwaufupi ni kwamba, mwanmke ni kiube ambaye hafai kabisa hata kidogo kuendesha huduma za jamii, mfano mzuri ni wa Bwana YESU wakati anachagua mitume wake 12 hakuthubut kumchagua mwanamke kwa sababu aliona kuwa kutakuwepo na matatizo ya rushwa, tamaa a ngono, wivu, ufuska, ufisadi, na kadhalika. Hii inatukumbusha tu kuwa tumesahau tulikotoka hivyo tunahribu tunakokwenda.

Kitu kingine cha kuzingatia hapa ni Mateso aliyoyapata Samsoni yalitokana na usaliti wa mkewe ajulikanye kwa jina la Delila. Haiwezekani hata kidogo kumweka mwanamke mbele kusimamia chombo cha umma.

Kifo cha Rwanda Magere “the rock” kilisababishwa na mwanamke ambaye alijitoa mhanga kuolewa na huy shujaa, kasha kumdadisi siri zake zote na kuwaambia watu wa nyumbani kwao jinsi ya kuweza kumuua, na kweli walifanikiwa kumuua kwa kushambulia kivuli chake.

Dhambi ya asili tuliyoirithi kutoka kwa Adamu na Eva ilisababishwa na udhaifu wa mwanamke ambae ni HAWA (EVA) kukubali kula tunda walilokuwa wamekatazawa kulila na mwenyezi Mungu. Hicho ndicho kilimfanya Adamu awe kwenye wakati mgumu sana wa kujibu maswali toka kwa Mungu hadi akaanza kujikanyaga kwa kuukwepa ukweli na kumrushia mkewe kuwa “mke uliyenipa ndiye kaniletea hilo tunda” na ndipo tukalaaniwa na sisi ambao hatujashiliki kulila hilo tunda na hatujui linafananaje.

Je, ni wangapi wanaopoteza mwelekeo wa maisha kwa sababu ya mwanamke? Je, ni mambo mangapi yameharibika hapa duniani kwa kusababishwa na mwanamke? Ni mengi na hayana maelezo mafupi. Kwa sababu hata kuenea kwa ukimwi kunasababishwa hasa na watoto wa kike kwa kuvaa nguo zenye kuleta matamanio yaani ziko fupi sana na zenye kubana maumbile kupita kipimo.

Mwisho msomaji napenda nikuambie kuwa, ukikuta serikali yoyote imeegemea sana kuwapa nafasi za juu wanawake ujue ni serikali ya kifisadi na maamuzi yake huwa yanategemea sana mwamke nyumbani kasema nini. Ni serikali yenye viomgozi ambao ni mbilikimo wa fikra za kulipeleka Taifa pazuri. Ni serikali yenye kuingia mikataba mibovu na yenye kusimama kusimamia kesi na kuishia kushindwa huku ikihukumiwa kulipa mabilioni ya fedha. Ni serikali ya watu masikini wa akili wasioweza kufanya mambo yao wenyewe bila kuomba misaada. Serikali za aina hizi ni za nchi za Afrika.

No comments:

Post a Comment